Архивы Habari - Esarkia ya Kipatriarki ya Afrika
RUS | ENG | FRA | SWA | DEU | عرب | Ελλ | PT

Habari

Kaimu Askofu Mkuu wa Afrika ateuliwa Mnamo Oktoba 11, 2023, mjini Mosko, kulifanyika kikao cha Sinodi Takatifu ya Kanisa la Kiothodoksi la Urusi. Mkutano wa kwanza wa undugu wa Kiothodoksi wa Mtakatifu Musa Murin wafanyika katika parokia ya Mtakatifu Nyektarius nchini Kenya Mkutano wa kwanza wa undugu wa Kiothodoksi, kwa heshima ya Mtakatifu Musa Murin, ulifanyika katika parokia ya Mtakatifu Nyektarius nchini Kenya (dekania ya Vihiga). Metropolitani wa Klin Leonid afanya mkutano na wawakilishi wa “NGO” “Kurugenzi ya Tamasha la Kimataifa la Vijana” Mnamo Oktoba 2, 2023, mjini Mosko, Askofu Mkuu wa Afrika- Metropolitani wa Klin Leonid alikutana na wawakilishi wa “NGO” (Kurugenzi ya Tamasha la Kimataifa la Vijana) – Alina Mamayeva na Ivan Gusakov. Mnamo Machi 2024, kufuatia agizo ... Mwenyekiti wa Idara ya Misioni akutana na Balozi wa Morisi nchini Urusi Mnamo Septemba 29, katika Ubalozi wa Jamhuri ya Morisi katika Shirikisho la Urusi, kulifanyika mkutano kati ya Mwenyekiti wa Idara ya Misioni ya Esarkia ya Kipatriarki ya Afrika, Padri Georgi Maksimov na Balozi wa Morisi nchini Urusi, Mh.Hesvari ... Tamasha la “Afrika ya Kiothodoksi” lafanyikaиnchini Tanzania Mnamo Septemba 22, Ofisi ya Jumba la Urusi mjini Dar es Salaam, Tanzania, iliendesha tamasha la uelimishaji wa kiroho -  "Afrika ya Kiothodoksi". Metropolitani wa Klin Leonid akutana na kiongozi wa Kanisa lisilo rasmi la Kameruni Mnamo Septemba 25, katika viwanja vya Kanisa la Watakatifu Wote pale Kulishki, Mosko, Askofu Mkuu wa Afrika, Metropolitani wa Klin Leonid, alikutana na Daudi  Kwin, "askofu" wa kanisa lisilo rasmi la Kameruni. Kasisi kutoka Afrika awaeleza wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Theolojia cha St. Petersburg kuhusu taratibu za liturgia za Wakristo wa Kiothodoksi nchini Tanzania Mnamo Septemba 19, Chuo Kikuu cha Theolojia cha St. Petersburg kilifanya mhadhara wa kwanza katika kuzindua mwaka mpya wa masomo, kwa Jumuiya ya Wanafunzi wa masomo ya Liturgia. Kundi la tatu la wanafunzi kutoka Afrika lamaliza masomo ya ukasisi Tarehe 6 Septemba, 2023, wanafunzi wa masomo ya ukasisi, kutoka Uganda na Kenya, walifanya mtihani wao wa mwisho na kufaulu. Baada ya kumaliza mtihani, wahitimu hao walipata nafasi ya kutembelea Kanisa Kuu la Kristo Mwokozi mjini Mosko. Mnamo ... Mtakatifu Patriarki Kirill alimtunuku Metropolitani wa Klin Leonid Nishani ya Mtakatifu Innosenti wa Mosko Mnamo Julai 18, 2023, kwenye sikukuu ya kupatikana kwa nguvu za uadilifu za Mtakatifu Sergius, Abati wa Radonezh, katika kuhitimisha Liturgia Takatifu, katika Uwanja wa Kanisa Kuu la Utatu Mtakatifu  la monasteri ya Sergius, katika ukumbi wa ... Monasteri ya kwanza, ya wanawake, ya Kanisa la Kiothodoksi la Urusi, inatarajiwa kufunguliwa nchini Kenya Askofu Mkuu wa Afrika, Metropolitani wa Klin Leonid, alisema kuwa mtawa Matrona (Dzhepchirchir), baada ya kukamilisha mazoezi ya utawa kule Mosko, ataweza kuwa abbessi na kuongoza nyumba ya watawa nchini Kenya, katika siku zijazo hivi karibuni.
patriarchia.ru
Tovuti rasmi ya Patriarkia ya Moscow
mospat.ru
Tovuti rasmi ya Idara ya Mahusiano ya Kanisa na Nchi za Nje
Hramkulishki.ru
Kanisa la Watakatifu Wote kule Kulishki