Askofu Mkuu wa Esarkia ya Afrika
Kanisa La Kiorthodoksi La Urusi
Matakwa ya kibenki
RUS
|
ENG
|
FRA
|
SWA
|
DEU
|
عرب
|
Ελλ
|
PT
Habari
Nyaraka
Vyombo vya habari – kuhusu sisi
Albamu za picha
Video
Patriarka Mtakatifu
Askofu Mkuu wa Esarkia ya Afrika
Dayosisi ya Afrika Kaskazini
Dayosisi ya Kusini mwa Afrika
Historia
Фильтр
С
до
Раздел
Все разделы
Новости
Документы
Пресса о нас
Фотоальбомы
Видео
Tafuta
RUS
|
ENG
|
FRA
|
SWA
|
DEU
|
عرب
|
Ελλ
|
PT
Misioni
18 Machi 2023 13:38
“Redio Sputnik” yatangaza Taarifa kuhusu Esarkia ya Kipatriarki ya Afrika
11 Agosti 2023 20:43
Metropolitani wa Klin Leonid: Makasisi wa Esarkia nchini Afrika Kusini washuhudia kuongezeka kwa shauku kwa Uothodoksi kati ya vijana
Patriarka
Sinodi Takatifu
Askofu Mkuu
Dayosisi ya Afrika Kaskazini
Dayosisi ya Kusini mwa Afrika
Kanisa na Nchi
Kanisa na Jamii
Utamaduni na elimu
Misioni
Mahusiano kati ya Wakristo
Mahusiano kati ya dini
11 Agosti 2023 20:42
Maandalizi yanaendelea kwa ajili ya jamii ya watu wasio waumini nchini Gabon, kujiunga na Kanisa la Urusi
Kwa ajili ya jambo hili, mmisionari A.V. Lyulka aliizuru Gabon na kufanya mihadhara ya katekisti katika parokia zote nne za jamii hiyo – kule Librevilli, Ntum na katika kijiji cha Abing Assi. “Waumini walisikiliza mihadhara kwa ...
01 Julai 2023 15:17
Safari ya Mwenyekiti wa Idara ya Wamishonari ya Esarkia kwenda Angola imekamilika
Safari ya mwenyekiti wa Idara ya Kimisionari ya Kanisa la Kiorthodoksi la Urusi kutoka Esarkia ya Africa, Padri George Maximov, kwenda Angola imekamilika.
09 Juni 2023 15:57
Ibada ya kujiunga na Orthodoxy ilifanyika katika parokia za nchini Rwanda na Burundi
Mnamo tarehe 4 Juni, 2023, katika kuadhimisha sherehe ya Utatu Mtakatifu (Pentekoste), nchini Rwanda, baada ya tangazo la muda mrefu, watu watatu wasiokuwa Waorthodoksi – Konstantin, Elena na David – walikubaliwa kuingia kawenye ...
10 Mei 2023 19:30
Vitabu vya maombi, katika lugha ya Kimalagasi, vyachapishwa
Esarkia ya Kipatriarki ya Afrika inaendelea kufanya kazi ya kutafsiri fasihi ya kidini katika lugha za Kiafrika.
18 Machi 2023 18:13
Esarkia ya Kipatriaki inaendelea kuimarisha mwelekeo wa Misioni katika Elimu
Kazi inaendelea katika mojawapo ya maeneo ya kipaumbele zaidi kwa misioni ya Esarkia ya Kipatriarki ya Afrika - elimu.
11 Machi 2023 18:35
Mafunzo ya kawaida ya makasisi wa Esarkia ya Kipatriarki ya Afrika yaanza
Safari hii, masomo na mazoezi ya liturgia yataendeshwa kwa lugha ya Kifaransa.
02 Machi 2023 09:11
Ziara ya kikundi cha wamisionari chini ya uongozi wa Padri Georgi Maksimov inaendelea
Kule Kigali, mji mkuu wa Rwanda, Padri Georgi na mmisionari A.V. Lyulka walikutana na jamii ya Esarkia, ikiongozwa na Msomaji Stefan.
24 Febuari 2023 08:46
Watu 20 wapata Ubatizo Mtakatifu katika parokia ya Mtakatifu Yohana Zlatoust mjini Nyamata (Rwanda)
Baadaye, Padri Georgi Maksimov alikutana na Balozi wa Urusi nchini Rwanda, K.D. Chalyan.
28 Januari 2023 00:36
Mihadhara juu ya Maandiko Matakatifu na Katekisimu yatolewa katika parokia mbili za Esarkia nchini Kenya
Mihadhara hiyo inatolewa na mmisionari na mwalimu A.V. Lyulka.
Visemavyo Vyombo vya habari kuhusu sisi
Vifaa vyote
20 Septemba 2023 13:42
Mahojiano kati ya Metropolitani wa Klin Leonid na Jarida la Kiserbia “Pechat”
18 Machi 2023 13:38
“Redio Sputnik” yatangaza Taarifa kuhusu Esarkia ya Kipatriarki ya Afrika
03 Febuari 2023 16:16
Metropolitani Leonid: Hali ya Wakristo katika Bara la Afrika inazorota
Nyaraka
Nyaraka zote
11 Agosti 2023 11:57
Misingi ya Mafundisho ya Kanisa kuhusu Familia na Malezi ya Mtoto: Mila na Usasa
04 Agosti 2023 20:31
Nafasi ya Dini katika Maendeleo ya Mataifa ya Afrika katika ulimwengu unaobadilika kwa kasi
17 Juni 2023 16:03
Pongezi za Patriarki kwa Leonid Metropolitan wa Klin kwenye kumbukumbu ya miaka 10 ya kuwekwa wakfu kwake
Albamu za picha
Picha zote
13 Septemba 2023 20:48
Kundi la tatu la wanafunzi kutoka Afrika lamaliza masomo ya ukasisi
01 Septemba 2023 20:59
Mtakatifu Patriarki Kirill alimtunuku Metropolitani wa Klin Leonid Nishani ya Mtakatifu Innosenti wa Mosko
Video
Video zote
22 Agosti 2023 14:07
Kwaya ya watoto yaundwa katika parokia ya Mtakatifu Yohana Lestvichnik jijini Keptauni
16 Aprili 2023 19:09
Makasisi wa Esarkia ya Kipatriarki washiriki ibada ya Pasaka katika Kanisa la Utatu Mtakatifu kule Vorobyovii Gori mjini Mosko
patriarchia.ru
Tovuti rasmi ya Patriarkia ya Moscow
mospat.ru
Tovuti rasmi ya Idara ya Mahusiano ya Kanisa na Nchi za Nje
Hramkulishki.ru
Kanisa la Watakatifu Wote kule Kulishki