Архивы Habari - Esarkia ya Kipatriarki ya Afrika
RUS | ENG | FRA | SWA | DEU | عرب | Ελλ | PT

Misioni

Metropolitani wa Klin Leonid akutana na kiongozi wa Kanisa lisilo rasmi la Kameruni Mnamo Septemba 25, katika viwanja vya Kanisa la Watakatifu Wote pale Kulishki, Mosko, Askofu Mkuu wa Afrika, Metropolitani wa Klin Leonid, alikutana na Daudi  Kwin, "askofu" wa kanisa lisilo rasmi la Kameruni. Metropolitani wa Klin Leonid: Makasisi wa Esarkia nchini Afrika Kusini washuhudia kuongezeka kwa shauku kwa Uothodoksi kati ya vijana Katika ukurasa wake wa “telegram”, Askofu Mkuu wa Afrika, Metropolitani wa Klin Leonid, alizungumza juu ya maendeleo ya misioni ya Esarkia ya Kipatriarki nchini Afrika Kusini. Padri Yakobo Smutsi anaendelea kutekeleza wajibu wake wa utumishi, ... Maandalizi yanaendelea kwa ajili ya jamii ya watu wasio waumini nchini Gabon, kujiunga na Kanisa la Urusi Kwa ajili ya jambo hili, mmisionari A.V. Lyulka aliizuru  Gabon na kufanya mihadhara ya katekisti katika parokia zote nne za jamii hiyo – kule Librevilli, Ntum na katika kijiji cha Abing Assi. “Waumini walisikiliza mihadhara kwa ... Safari ya Mwenyekiti wa Idara ya Wamishonari ya Esarkia kwenda Angola imekamilika Safari ya mwenyekiti wa Idara ya Kimisionari ya Kanisa la Kiorthodoksi la Urusi kutoka Esarkia ya  Africa, Padri George Maximov, kwenda Angola imekamilika. Ibada ya kujiunga na Orthodoxy ilifanyika katika parokia za nchini Rwanda na Burundi Mnamo tarehe 4 Juni, 2023, katika kuadhimisha sherehe ya Utatu Mtakatifu (Pentekoste), nchini Rwanda, baada ya tangazo la muda mrefu, watu watatu wasiokuwa Waorthodoksi – Konstantin, Elena na David – walikubaliwa kuingia kawenye ... Vitabu vya maombi, katika lugha ya Kimalagasi, vyachapishwa Esarkia ya Kipatriarki ya Afrika inaendelea kufanya kazi ya kutafsiri fasihi ya kidini katika lugha za Kiafrika. Esarkia ya Kipatriaki inaendelea kuimarisha mwelekeo wa Misioni katika Elimu  Kazi inaendelea katika mojawapo ya maeneo ya kipaumbele zaidi kwa misioni ya Esarkia ya Kipatriarki ya Afrika - elimu. Mafunzo ya kawaida ya makasisi wa Esarkia ya Kipatriarki ya Afrika yaanza Safari hii, masomo na mazoezi ya liturgia yataendeshwa kwa lugha ya Kifaransa. Ziara ya kikundi cha wamisionari chini ya uongozi wa Padri Georgi Maksimov inaendelea Kule Kigali, mji mkuu wa Rwanda, Padri Georgi na mmisionari A.V. Lyulka walikutana na jamii ya Esarkia, ikiongozwa na Msomaji Stefan. Watu 20 wapata Ubatizo Mtakatifu katika parokia ya Mtakatifu Yohana Zlatoust mjini Nyamata (Rwanda) Baadaye, Padri Georgi Maksimov alikutana na Balozi wa Urusi nchini Rwanda, K.D. Chalyan.
patriarchia.ru
Tovuti rasmi ya Patriarkia ya Moscow
mospat.ru
Tovuti rasmi ya Idara ya Mahusiano ya Kanisa na Nchi za Nje
Hramkulishki.ru
Kanisa la Watakatifu Wote kule Kulishki