Askofu Mkuu wa Esarkia ya Afrika
Kanisa La Kiorthodoksi La Urusi
Matakwa ya kibenki
RUS
|
ENG
|
FRA
|
SWA
|
DEU
|
عرب
|
Ελλ
|
PT
Habari
Nyaraka
Vyombo vya habari – kuhusu sisi
Albamu za picha
Video
Patriarka Mtakatifu
Askofu Mkuu wa Esarkia ya Afrika
Dayosisi ya Afrika Kaskazini
Dayosisi ya Kusini mwa Afrika
Historia
Фильтр
С
до
Раздел
Все разделы
Новости
Документы
Пресса о нас
Фотоальбомы
Видео
Tafuta
RUS
|
ENG
|
FRA
|
SWA
|
DEU
|
عرب
|
Ελλ
|
PT
Dayosisi ya Kusini mwa Afrika
25 Agosti 2023 18:20
Monasteri ya kwanza, ya wanawake, ya Kanisa la Kiothodoksi la Urusi, inatarajiwa kufunguliwa nchini Kenya
28 Julai 2023 20:38
V.V. Putin: Kituo cha Urusi cha Elimu ya Kiroho kufunguliwa nchini Uganda
Patriarka
Sinodi Takatifu
Askofu Mkuu
Dayosisi ya Afrika Kaskazini
Dayosisi ya Kusini mwa Afrika
Kanisa na Nchi
Kanisa na Jamii
Utamaduni na elimu
Misioni
Mahusiano kati ya Wakristo
Mahusiano kati ya dini
22 Agosti 2023 14:07
Kwaya ya watoto yaundwa katika parokia ya Mtakatifu Yohana Lestvichnik jijini Keptauni
Katika kanisa la Mtakatifu Yohana Lestvichnik jijini Keptauni(Afrika Kusini), kumeanzishwa mafundisho ya kwaya ya watoto.
11 Agosti 2023 20:43
Metropolitani wa Klin Leonid: Makasisi wa Esarkia nchini Afrika Kusini washuhudia kuongezeka kwa shauku kwa Uothodoksi kati ya vijana
Katika ukurasa wake wa “telegram”, Askofu Mkuu wa Afrika, Metropolitani wa Klin Leonid, alizungumza juu ya maendeleo ya misioni ya Esarkia ya Kipatriarki nchini Afrika Kusini. Padri Yakobo Smutsi anaendelea kutekeleza wajibu wake wa utumishi, ...
11 Agosti 2023 20:42
Maandalizi yanaendelea kwa ajili ya jamii ya watu wasio waumini nchini Gabon, kujiunga na Kanisa la Urusi
Kwa ajili ya jambo hili, mmisionari A.V. Lyulka aliizuru Gabon na kufanya mihadhara ya katekisti katika parokia zote nne za jamii hiyo – kule Librevilli, Ntum na katika kijiji cha Abing Assi. “Waumini walisikiliza mihadhara kwa ...
01 Julai 2023 15:24
Wakenya sita walibatizwa katika parokia ya Mtakatifu Vladimir huko Vihiga Kenya
Tarehe 25 Juni, katika Wiki ya 3 baada ya Pentekoste, Padre Kiriak Kipchumba aliadhimisha Ibada ya Misa takatifu katika parokia ya Mtakatifu Prince Vladimir Sawa-kwa-Mitume katika kijiji cha Serzhem wilaya ya Vihiga nchini Kenya.
01 Julai 2023 15:22
Ng’ombe anunuliwa kwa ajili ya watoto nchini Kenya kwa michango kutoka kwa waumini
Kwa michango ya waumini, ng’ombe alinunuliwa kwa ajili ya Kituo cha watoto yatima cha Mtakatifu Athanasius nchini Kenya (kijiji cha Nyabigege, wilayani Kisii).
01 Julai 2023 15:20
Idadi ya makasisi wa Esarkia ya Kipatriarki ya Afrika inaongezeka
Mnamotarehe 25 Juni, katika Wiki ya 3 ya Pentekoste, mapadre Pavel Matov na Thomas Sebiranda, waliojiunga na Kanisa la Kiorthodoksi la Urusi, waliungana na Padri Pavel Bulek katika parokia hiyo kwa heshima ya Mtakatifu Prince Vladimir ...
01 Julai 2023 15:17
Safari ya Mwenyekiti wa Idara ya Wamishonari ya Esarkia kwenda Angola imekamilika
Safari ya mwenyekiti wa Idara ya Kimisionari ya Kanisa la Kiorthodoksi la Urusi kutoka Esarkia ya Africa, Padri George Maximov, kwenda Angola imekamilika.
09 Juni 2023 16:01
Katika Parokia ya Mtakatifu Yakobo nchini Kenya, ilifanyika sherehe za maadhimisho ya sikukuu ya Pentekoste
Mnamo tarehe 4 Juni, 2023, katika kuadhimisha sikukuu ya Utatu Mtakatifu (Pentekoste), Padre mkuu Peter Lutomia aliadhimisha Ibada ya Misa Takatifu katika parokia ya Mtakatifu Yakobo katika kijiji cha Chekalin nchini Kenya (Dekania ya Lugari, ...
09 Juni 2023 15:59
Sherehe za maadhimisho ya sikukuu ya Pentekoste zilifanyika katika parokia ya Cape Town
Tarehe 4 Juni, 2023, katika kuadhimisha sikukuu ya Utatu Mtakatifu (Pentekoste), Padre Nikolai Esterhuizen mbaye ni Paroko wa Parokia hiyo, aliongoza Ibada ya Misa katika kanisa la Mtakatifu Yohane wa Ngazi huko Cape Town (Afrika Kusini). ...
09 Juni 2023 15:57
Ibada ya kujiunga na Orthodoxy ilifanyika katika parokia za nchini Rwanda na Burundi
Mnamo tarehe 4 Juni, 2023, katika kuadhimisha sherehe ya Utatu Mtakatifu (Pentekoste), nchini Rwanda, baada ya tangazo la muda mrefu, watu watatu wasiokuwa Waorthodoksi – Konstantin, Elena na David – walikubaliwa kuingia kawenye ...
1
2
3
Visemavyo Vyombo vya habari kuhusu sisi
Vifaa vyote
20 Septemba 2023 13:42
Mahojiano kati ya Metropolitani wa Klin Leonid na Jarida la Kiserbia “Pechat”
18 Machi 2023 13:38
“Redio Sputnik” yatangaza Taarifa kuhusu Esarkia ya Kipatriarki ya Afrika
03 Febuari 2023 16:16
Metropolitani Leonid: Hali ya Wakristo katika Bara la Afrika inazorota
Nyaraka
Nyaraka zote
11 Agosti 2023 11:57
Misingi ya Mafundisho ya Kanisa kuhusu Familia na Malezi ya Mtoto: Mila na Usasa
04 Agosti 2023 20:31
Nafasi ya Dini katika Maendeleo ya Mataifa ya Afrika katika ulimwengu unaobadilika kwa kasi
17 Juni 2023 16:03
Pongezi za Patriarki kwa Leonid Metropolitan wa Klin kwenye kumbukumbu ya miaka 10 ya kuwekwa wakfu kwake
Albamu za picha
Picha zote
13 Septemba 2023 20:48
Kundi la tatu la wanafunzi kutoka Afrika lamaliza masomo ya ukasisi
01 Septemba 2023 20:59
Mtakatifu Patriarki Kirill alimtunuku Metropolitani wa Klin Leonid Nishani ya Mtakatifu Innosenti wa Mosko
Video
Video zote
22 Agosti 2023 14:07
Kwaya ya watoto yaundwa katika parokia ya Mtakatifu Yohana Lestvichnik jijini Keptauni
16 Aprili 2023 19:09
Makasisi wa Esarkia ya Kipatriarki washiriki ibada ya Pasaka katika Kanisa la Utatu Mtakatifu kule Vorobyovii Gori mjini Mosko
patriarchia.ru
Tovuti rasmi ya Patriarkia ya Moscow
mospat.ru
Tovuti rasmi ya Idara ya Mahusiano ya Kanisa na Nchi za Nje
Hramkulishki.ru
Kanisa la Watakatifu Wote kule Kulishki