Askofu Mkuu wa Esarkia ya Afrika
Kanisa La Kiorthodoksi La Urusi
Matakwa ya kibenki
RUS
|
ENG
|
FRA
|
SWA
|
DEU
|
عرب
|
Ελλ
|
PT
Habari
Nyaraka
Vyombo vya habari – kuhusu sisi
Albamu za picha
Video
Patriarka Mtakatifu
Askofu Mkuu wa Esarkia ya Afrika
Dayosisi ya Afrika Kaskazini
Dayosisi ya Kusini mwa Afrika
Historia
Фильтр
С
до
Раздел
Все разделы
Новости
Документы
Пресса о нас
Фотоальбомы
Видео
Tafuta
RUS
|
ENG
|
FRA
|
SWA
|
DEU
|
عرب
|
Ελλ
|
PT
Habari
13 Septemba 2023 20:48
Kundi la tatu la wanafunzi kutoka Afrika lamaliza masomo ya ukasisi
01 Septemba 2023 20:59
Mtakatifu Patriarki Kirill alimtunuku Metropolitani wa Klin Leonid Nishani ya Mtakatifu Innosenti wa Mosko
Patriarka
Sinodi Takatifu
Askofu Mkuu
Dayosisi ya Afrika Kaskazini
Dayosisi ya Kusini mwa Afrika
Kanisa na Nchi
Kanisa na Jamii
Utamaduni na elimu
Misioni
Mahusiano kati ya Wakristo
Mahusiano kati ya dini
17 Juni 2023 16:02
Patriarki Mtakatifu Kirill ampongeza Askofu mkuu Leonid wa Klin kwenye kumbukumbu ya miaka 10 ya kuwekwa wakfu kwake
Patriarki Mtakatifu Kirill wa Moscow na Urusi yote amempongeza Askofu mkuu wa Africa Metropolitani Leonid wa Klin kwenye kumbukumbu ya miaka 10 ya kuwekwa wakfu kwake kuwa Askofu.
09 Juni 2023 16:01
Katika Parokia ya Mtakatifu Yakobo nchini Kenya, ilifanyika sherehe za maadhimisho ya sikukuu ya Pentekoste
Mnamo tarehe 4 Juni, 2023, katika kuadhimisha sikukuu ya Utatu Mtakatifu (Pentekoste), Padre mkuu Peter Lutomia aliadhimisha Ibada ya Misa Takatifu katika parokia ya Mtakatifu Yakobo katika kijiji cha Chekalin nchini Kenya (Dekania ya Lugari, ...
09 Juni 2023 15:59
Sherehe za maadhimisho ya sikukuu ya Pentekoste zilifanyika katika parokia ya Cape Town
Tarehe 4 Juni, 2023, katika kuadhimisha sikukuu ya Utatu Mtakatifu (Pentekoste), Padre Nikolai Esterhuizen mbaye ni Paroko wa Parokia hiyo, aliongoza Ibada ya Misa katika kanisa la Mtakatifu Yohane wa Ngazi huko Cape Town (Afrika Kusini). ...
09 Juni 2023 15:58
Katika kuadhimisha Sikukuu ya Utatu Mtakatifu, ibada ya Misa Takatifu ilifanyika katika parokia ya Maombezi ya Theotokos na parokia ya Mtakatifu Leonid nchini Nigeria
Tarehe 4 Juni, 2023, Wiki ya 8 ya Pasaka, katika kuadhimisha Sikukuu ya Utatu Mtakatifu (Pentekoste), Padre Daniel Agbaza na Padre Anastasy waliongoza ibada ya Misa takatifu katika parokia ya Maombezi ya Theotokos Mtakatifu katika kijiji cha ...
09 Juni 2023 15:57
Ibada ya kujiunga na Orthodoxy ilifanyika katika parokia za nchini Rwanda na Burundi
Mnamo tarehe 4 Juni, 2023, katika kuadhimisha sherehe ya Utatu Mtakatifu (Pentekoste), nchini Rwanda, baada ya tangazo la muda mrefu, watu watatu wasiokuwa Waorthodoksi – Konstantin, Elena na David – walikubaliwa kuingia kawenye ...
05 Juni 2023 18:52
Katika kuadhimisha Sikukuu ya Utatu Mtakatifu, Ibada ya Liturujia ilifanyika nchini Kenya katika parokia ya Mtakatifu Pantaleon Shahidi mkuu na mponyaji
Tarehe 4 Juni 2023, Wiki ya 8 baada ya Pasaka, katika kuadhimisha sikukuu ya Utatu Mtakatifu (Pentekoste), ibada ya Misa takatifu iliongozwa na Padre Mkuu Arseniy Chitwa katika parokia ya Mtakatifu Pantaleon Shahidi Mkuu na mponyaji huko ...
14 Mei 2023 19:32
Mazoezi ya Kiliturgia kwa kundi la wanafunzi wa masomo ya ukasisi, wanaozungumza lugha ya Kifaransa, yahitimishwa
Mafunzo ya darasani na pia mazoezi ya kiliturgia kwa kundi la wanafunzi wa masomo ya ukasisi, wanaozungumza lugha ya Kifaransa, wa Esarkia ya Kipatriarki ya Afrika, yamehitimishwa.
11 Mei 2023 19:27
Balozi wa Benin nchini Urusi akutana na kasisi wa Esarkia ya Afrika
Mnamo tarehe 10 Mei, 2023, Balozi wa Jamhuri ya Benin katika Shirikisho la Urusi, Mh. Akambi Andre Okunlola-Biau, alikutana na kasisi wa Esarkia ya Kipatriarki ya Afrika, Padri Parfeni Dansu, mjini Mosko.
10 Mei 2023 19:30
Vitabu vya maombi, katika lugha ya Kimalagasi, vyachapishwa
Esarkia ya Kipatriarki ya Afrika inaendelea kufanya kazi ya kutafsiri fasihi ya kidini katika lugha za Kiafrika.
08 Mei 2023 18:18
Wakazi 14 wa Kaunti ya Nandi (Kenya) wabatizwa
Sakramenti hiyo iliendeshwa na mkuu wa Dekania ya Nandi, Padri Tito Kipnjen.
1
2
3
4
5
6
Visemavyo Vyombo vya habari kuhusu sisi
Vifaa vyote
20 Septemba 2023 13:42
Mahojiano kati ya Metropolitani wa Klin Leonid na Jarida la Kiserbia “Pechat”
18 Machi 2023 13:38
“Redio Sputnik” yatangaza Taarifa kuhusu Esarkia ya Kipatriarki ya Afrika
03 Febuari 2023 16:16
Metropolitani Leonid: Hali ya Wakristo katika Bara la Afrika inazorota
Nyaraka
Nyaraka zote
11 Agosti 2023 11:57
Misingi ya Mafundisho ya Kanisa kuhusu Familia na Malezi ya Mtoto: Mila na Usasa
04 Agosti 2023 20:31
Nafasi ya Dini katika Maendeleo ya Mataifa ya Afrika katika ulimwengu unaobadilika kwa kasi
17 Juni 2023 16:03
Pongezi za Patriarki kwa Leonid Metropolitan wa Klin kwenye kumbukumbu ya miaka 10 ya kuwekwa wakfu kwake
Albamu za picha
Picha zote
13 Septemba 2023 20:48
Kundi la tatu la wanafunzi kutoka Afrika lamaliza masomo ya ukasisi
01 Septemba 2023 20:59
Mtakatifu Patriarki Kirill alimtunuku Metropolitani wa Klin Leonid Nishani ya Mtakatifu Innosenti wa Mosko
Video
Video zote
22 Agosti 2023 14:07
Kwaya ya watoto yaundwa katika parokia ya Mtakatifu Yohana Lestvichnik jijini Keptauni
16 Aprili 2023 19:09
Makasisi wa Esarkia ya Kipatriarki washiriki ibada ya Pasaka katika Kanisa la Utatu Mtakatifu kule Vorobyovii Gori mjini Mosko
patriarchia.ru
Tovuti rasmi ya Patriarkia ya Moscow
mospat.ru
Tovuti rasmi ya Idara ya Mahusiano ya Kanisa na Nchi za Nje
Hramkulishki.ru
Kanisa la Watakatifu Wote kule Kulishki