Архивы Albamu za picha - Esarkia ya Kipatriarki ya Afrika
RUS | ENG | FRA | SWA | DEU | عرب | Ελλ | PT

Albamu za picha

Metropolitani wa Klin Leonid afanya mkutano na wawakilishi wa “NGO” “Kurugenzi ya Tamasha la Kimataifa la Vijana” Mnamo Oktoba 2, 2023, mjini Mosko, Askofu Mkuu wa Afrika- Metropolitani wa Klin Leonid alikutana na wawakilishi wa “NGO” (Kurugenzi ya Tamasha la Kimataifa la Vijana) – Alina Mamayeva na Ivan Gusakov. Mnamo Machi 2024, kufuatia agizo ... Metropolitani wa Klin Leonid akutana na kiongozi wa Kanisa lisilo rasmi la Kameruni Mnamo Septemba 25, katika viwanja vya Kanisa la Watakatifu Wote pale Kulishki, Mosko, Askofu Mkuu wa Afrika, Metropolitani wa Klin Leonid, alikutana na Daudi  Kwin, "askofu" wa kanisa lisilo rasmi la Kameruni. Kundi la tatu la wanafunzi kutoka Afrika lamaliza masomo ya ukasisi Tarehe 6 Septemba, 2023, wanafunzi wa masomo ya ukasisi, kutoka Uganda na Kenya, walifanya mtihani wao wa mwisho na kufaulu. Baada ya kumaliza mtihani, wahitimu hao walipata nafasi ya kutembelea Kanisa Kuu la Kristo Mwokozi mjini Mosko. Mnamo ... Mtakatifu Patriarki Kirill alimtunuku Metropolitani wa Klin Leonid Nishani ya Mtakatifu Innosenti wa Mosko Mnamo Julai 18, 2023, kwenye sikukuu ya kupatikana kwa nguvu za uadilifu za Mtakatifu Sergius, Abati wa Radonezh, katika kuhitimisha Liturgia Takatifu, katika Uwanja wa Kanisa Kuu la Utatu Mtakatifu  la monasteri ya Sergius, katika ukumbi wa ... Katika Wiki ya 10 ya Pentekoste, Metropolitani wa Klin Leonid aliadhimisha Liturgia Takatifu katika kanisa la Watakatifu Wote kule Kulishki Mnamo Agosti 13, Wiki ya 10 baada ya Pentekoste, siku ya kumbukumbu ya Shahidi Mtakatifu Benjamin, Metropolitani wa Petrograd na Gdov, Askofu Mkuu wa Afrika Metropolitani wa Klin Leonid, aliadhimisha Liturgia Takatifu katika kanisa la Watakatifu ... Kwaya ya watoto yaundwa katika parokia ya Mtakatifu Yohana Lestvichnik jijini Keptauni Katika kanisa la Mtakatifu Yohana Lestvichnik jijini Keptauni(Afrika Kusini), kumeanzishwa mafundisho  ya kwaya ya watoto. Wanafunzi wa SpbDA kutoka nchi za Afrika wakutana na Askofu Mkuu wa Belarusi Yote Mnamo Agosti 14, kule mjini Minsk, Askofu Mkuu wa Belarus Yote - Metropolitani wa Minsk na Zaslavski Benyamini, alikutana na wanafunzi kutoka nchi za Afrika wanaosoma katika Chuo cha Theolojia cha St. Petersburg. Metropolitani wa Klin Leonid: Makasisi wa Esarkia nchini Afrika Kusini washuhudia kuongezeka kwa shauku kwa Uothodoksi kati ya vijana Katika ukurasa wake wa “telegram”, Askofu Mkuu wa Afrika, Metropolitani wa Klin Leonid, alizungumza juu ya maendeleo ya misioni ya Esarkia ya Kipatriarki nchini Afrika Kusini. Padri Yakobo Smutsi anaendelea kutekeleza wajibu wake wa utumishi, ... Maandalizi yanaendelea kwa ajili ya jamii ya watu wasio waumini nchini Gabon, kujiunga na Kanisa la Urusi Kwa ajili ya jambo hili, mmisionari A.V. Lyulka aliizuru  Gabon na kufanya mihadhara ya katekisti katika parokia zote nne za jamii hiyo – kule Librevilli, Ntum na katika kijiji cha Abing Assi. “Waumini walisikiliza mihadhara kwa ... Kambi ya vijana yaanzishwa kwa ajili ya watoto wa waumini wa Esarkia ya Kipatriarki katika Jamhuri ya Afrika ya Kati Wiki iliyopita, waumini vijana wa Kanisa la Mtakatifu Andrea mjini Bangui, mji mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, walikwenda kwenye kambi ya vijana ya majira ya kiangazi.
patriarchia.ru
Tovuti rasmi ya Patriarkia ya Moscow
mospat.ru
Tovuti rasmi ya Idara ya Mahusiano ya Kanisa na Nchi za Nje
Hramkulishki.ru
Kanisa la Watakatifu Wote kule Kulishki