11 Agosti 2023 20:39
Kambi ya vijana yaanzishwa kwa ajili ya watoto wa waumini wa Esarkia ya Kipatriarki katika Jamhuri ya Afrika ya Kati
Wiki iliyopita, waumini vijana wa Kanisa la Mtakatifu Andrea mjini Bangui, mji mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, walikwenda kwenye kambi ya vijana ya majira ya kiangazi.
01 Julai 2023 15:04
Liturujia ya kwanza yaadhimishwa katika mji wa Emevor nchini Nigeria
Tarehe 25 Juni, Wiki ya 3 baada ya Pentekoste, Ibada ya kwanza ya Misa takatifu kwa waumini wa jumuiya ya Esarkia ya Kipatriarki ya Afrika ilifanyika katika Kanisa la Mtakatifu Andrea wa Kwanza huko Emevor, Nigeria (katika jimbo la Delta).
09 Juni 2023 15:58
Katika kuadhimisha Sikukuu ya Utatu Mtakatifu, ibada ya Misa Takatifu ilifanyika katika parokia ya Maombezi ya Theotokos na parokia ya Mtakatifu Leonid nchini Nigeria
Tarehe 4 Juni, 2023, Wiki ya 8 ya Pasaka, katika kuadhimisha Sikukuu ya Utatu Mtakatifu (Pentekoste), Padre Daniel Agbaza na Padre Anastasy waliongoza ibada ya Misa takatifu katika parokia ya Maombezi ya Theotokos Mtakatifu katika kijiji cha ...
15 Febuari 2023 14:18
Mwenyekiti wa Idara ya Misioni ya Esarkia ya Kipatriarki ya Afrika, Padri Georgi Maksimov, azuru Kamerun
Tarehe 12 Februari 2023, katika Wiki ya Mwana Mpotevu, siku ya kumbukizi ya walimu wa kiekumeni na watakatifu Basil Mkuu, Gregori Mtheolojia na Yohana Zlatousti, iliadhimishwa Liturgia ya upatanisho katika kanisa la Ufufuo wa Kristo ...
01 Febuari 2023 18:43
Katika Wiki ya 33 ya Pentekoste, kulifanyika ibada katika Kituo cha Sayansi na Utamaduni cha Urusi nchini Tanzania.
Liturgia Takatifu iliendeshwa na Baba Paroko Filaret (Kimaro) na Padri Konstantin Shoki.
18 Disemba 2022 21:58
Metropolitani wa Klin Leonid alihudhuria tamasha la muziki wa Kirusi katika mji mkuu wa Moroko
Askofu Mkuu wa Kipatriarki aliwasili Moroko ili kushiriki katika sherehe za maadhimisho ya miaka 90 ya Kanisa la Ufufuo wa Kristo kule Rabat - kanisa kongwe zaidi la Urusi barani Afrika.