Kanisa La Kiorthodoksi La Urusi
Askofu Mkuu wa Esarkia ya Afrika
Tovuti rasmi
Matakwa ya kibenki
RUS
|
ENG
|
FRA
|
SWA
|
DEU
|
عرب
|
Ελλ
|
PT
Habari
Nyaraka
Vyombo vya habari – kuhusu sisi
Albamu za picha
Video
Patriarka Mtakatifu
Askofu Mkuu wa Afrika
Dayosisi ya Afrika Kaskazini
Dayosisi ya Kusini mwa Afrika
Historia
Фильтр
С
до
Раздел
Все разделы
Новости
Документы
Пресса о нас
Фотоальбомы
Видео
Tafuta
RUS
|
ENG
|
FRA
|
SWA
|
DEU
|
عرب
|
Ελλ
|
PT
Dayosisi ya Kusini mwa Afrika
05 Oktoba 2023 15:04
Mwenyekiti wa Idara ya Misioni akutana na Balozi wa Morisi nchini Urusi
03 Oktoba 2023 13:36
Tamasha la “Afrika ya Kiothodoksi” lafanyikaиnchini Tanzania
Patriarka
Sinodi Takatifu
Askofu Mkuu
Dayosisi ya Afrika Kaskazini
Dayosisi ya Kusini mwa Afrika
Kanisa na Nchi
Kanisa na Jamii
Utamaduni na elimu
Misioni
Mahusiano kati ya Wakristo
Mahusiano kati ya dini
09 Juni 2023 16:01
Katika Parokia ya Mtakatifu Yakobo nchini Kenya, ilifanyika sherehe za maadhimisho ya sikukuu ya Pentekoste
Mnamo tarehe 4 Juni, 2023, katika kuadhimisha sikukuu ya Utatu Mtakatifu (Pentekoste), Padre mkuu Peter Lutomia aliadhimisha Ibada ya Misa Takatifu katika parokia ya Mtakatifu Yakobo katika kijiji cha Chekalin nchini Kenya (Dekania ya Lugari, ...
09 Juni 2023 15:59
Sherehe za maadhimisho ya sikukuu ya Pentekoste zilifanyika katika parokia ya Cape Town
Tarehe 4 Juni, 2023, katika kuadhimisha sikukuu ya Utatu Mtakatifu (Pentekoste), Padre Nikolai Esterhuizen mbaye ni Paroko wa Parokia hiyo, aliongoza Ibada ya Misa katika kanisa la Mtakatifu Yohane wa Ngazi huko Cape Town (Afrika Kusini). ...
09 Juni 2023 15:57
Ibada ya kujiunga na Orthodoxy ilifanyika katika parokia za nchini Rwanda na Burundi
Mnamo tarehe 4 Juni, 2023, katika kuadhimisha sherehe ya Utatu Mtakatifu (Pentekoste), nchini Rwanda, baada ya tangazo la muda mrefu, watu watatu wasiokuwa Waorthodoksi – Konstantin, Elena na David – walikubaliwa kuingia kawenye ...
05 Juni 2023 18:52
Katika kuadhimisha Sikukuu ya Utatu Mtakatifu, Ibada ya Liturujia ilifanyika nchini Kenya katika parokia ya Mtakatifu Pantaleon Shahidi mkuu na mponyaji
Tarehe 4 Juni 2023, Wiki ya 8 baada ya Pasaka, katika kuadhimisha sikukuu ya Utatu Mtakatifu (Pentekoste), ibada ya Misa takatifu iliongozwa na Padre Mkuu Arseniy Chitwa katika parokia ya Mtakatifu Pantaleon Shahidi Mkuu na mponyaji huko ...
10 Mei 2023 19:30
Vitabu vya maombi, katika lugha ya Kimalagasi, vyachapishwa
Esarkia ya Kipatriarki ya Afrika inaendelea kufanya kazi ya kutafsiri fasihi ya kidini katika lugha za Kiafrika.
08 Mei 2023 18:18
Wakazi 14 wa Kaunti ya Nandi (Kenya) wabatizwa
Sakramenti hiyo iliendeshwa na mkuu wa Dekania ya Nandi, Padri Tito Kipnjen.
15 Aprili 2023 19:04
Mwenyekiti wa Idara ya Misioni atembelea Kituo cha Elimu cha Esarkia kilichopo Kisarawe (Tanzania)
Jioni ya Aprili 13, 2023, usiku wa kuamkia Ijumaa Kuu ya Wiki Takatifu, mwenyekiti wa Idara ya Misioni ya Esarkia ya Kipatriarki ya Afrika, Padri Georgi Maksimov, alitembelea Kituo cha Elimu cha Esarkia kilichopo Kisarawe (Tanzania).
02 Machi 2023 09:11
Ziara ya kikundi cha wamisionari chini ya uongozi wa Padri Georgi Maksimov inaendelea
Kule Kigali, mji mkuu wa Rwanda, Padri Georgi na mmisionari A.V. Lyulka walikutana na jamii ya Esarkia, ikiongozwa na Msomaji Stefan.
27 Febuari 2023 14:07
Mafunzo ya kawaida kwa makasisi na walei wa Esarkia ya Kipatriarki ya Afrika yakamilika
Mmisionari A.V. Lyulka alitoa mihadhara juu ya Maandiko Matakatifu na Katekisimu katika majimbo yote tisa ya Kenya, mkazo maalum ukiwekwa katika masuala ya eklezia na skismolojia, sakramenti za Ubatizo na Toba katika maisha ya mkristo.
24 Febuari 2023 08:46
Watu 20 wapata Ubatizo Mtakatifu katika parokia ya Mtakatifu Yohana Zlatoust mjini Nyamata (Rwanda)
Baadaye, Padri Georgi Maksimov alikutana na Balozi wa Urusi nchini Rwanda, K.D. Chalyan.
1
2
3
Visemavyo Vyombo vya habari kuhusu sisi
Vifaa vyote
18 Machi 2023 13:38
“Redio Sputnik” yatangaza Taarifa kuhusu Esarkia ya Kipatriarki ya Afrika
03 Febuari 2023 16:16
Metropolitani Leonid: Hali ya Wakristo katika Bara la Afrika inazorota
28 Januari 2023 00:59
Makasisi wa Kanisa la Urusi huendesha ibada barani Afrika kwa lugha mbalimbali
Nyaraka
Nyaraka zote
11 Agosti 2023 11:57
Misingi ya Mafundisho ya Kanisa kuhusu Familia na Malezi ya Mtoto: Mila na Usasa
04 Agosti 2023 20:31
Nafasi ya Dini katika Maendeleo ya Mataifa ya Afrika katika ulimwengu unaobadilika kwa kasi
25 Mei 2023 17:30
Salamu za Mtakatifu Patriarki Kirill katika maadhimisho ya “Siku ya Afrika”
Albamu za picha
Picha zote
05 Oktoba 2023 15:06
Metropolitani wa Klin Leonid afanya mkutano na wawakilishi wa “NGO” “Kurugenzi ya Tamasha la Kimataifa la Vijana”
03 Oktoba 2023 13:36
Tamasha la “Afrika ya Kiothodoksi” lafanyikaиnchini Tanzania
Video
Video zote
22 Agosti 2023 14:07
Kwaya ya watoto yaundwa katika parokia ya Mtakatifu Yohana Lestvichnik jijini Keptauni
16 Aprili 2023 19:09
Makasisi wa Esarkia ya Kipatriarki washiriki ibada ya Pasaka katika Kanisa la Utatu Mtakatifu kule Vorobyovii Gori mjini Mosko
patriarchia.ru
Tovuti rasmi ya Patriarkia ya Moscow
mospat.ru
Tovuti rasmi ya Idara ya Mahusiano ya Kanisa na Nchi za Nje
Hramkulishki.ru
Kanisa la Watakatifu Wote kule Kulishki