Kanisa La Kiorthodoksi La Urusi
Askofu Mkuu wa Esarkia ya Afrika
Tovuti rasmi
Matakwa ya kibenki
RUS
|
ENG
|
FRA
|
SWA
|
DEU
|
عرب
|
Ελλ
|
PT
Habari
Nyaraka
Vyombo vya habari – kuhusu sisi
Albamu za picha
Video
Patriarka Mtakatifu
Askofu Mkuu wa Afrika
Dayosisi ya Afrika Kaskazini
Dayosisi ya Kusini mwa Afrika
Historia
Фильтр
С
до
Раздел
Все разделы
Новости
Документы
Пресса о нас
Фотоальбомы
Видео
Tafuta
RUS
|
ENG
|
FRA
|
SWA
|
DEU
|
عرب
|
Ελλ
|
PT
Askofu Mkuu
26 Oktoba 2023 20:48
Kaimu Askofu Mkuu wa Afrika ateuliwa
03 Oktoba 2023 13:36
Tamasha la “Afrika ya Kiothodoksi” lafanyikaиnchini Tanzania
Patriarka
Sinodi Takatifu
Askofu Mkuu
Dayosisi ya Afrika Kaskazini
Dayosisi ya Kusini mwa Afrika
Kanisa na Nchi
Kanisa na Jamii
Utamaduni na elimu
Misioni
Mahusiano kati ya Wakristo
Mahusiano kati ya dini
22 Juni 2023 22:20
Leonid Metropolitan wa Klin: “Tuna matarajio mazuri sana”
Katika ukurasa wake ya telegramu, Askofu Mkuu Leonid Metropolitani wa Klin alizungumza juu ya dhamira ya Kanisa la Kiothodoksi ya Urusi barani Afrika.
17 Juni 2023 16:02
Patriarki Mtakatifu Kirill ampongeza Askofu mkuu Leonid wa Klin kwenye kumbukumbu ya miaka 10 ya kuwekwa wakfu kwake
Patriarki Mtakatifu Kirill wa Moscow na Urusi yote amempongeza Askofu mkuu wa Africa Metropolitani Leonid wa Klin kwenye kumbukumbu ya miaka 10 ya kuwekwa wakfu kwake kuwa Askofu.
25 Aprili 2023 18:57
Metropolitani wa Klin Leonid akutana na kundi la wanafunzi kutoka nchi za Afrika
Wanafunzi kutoka Uganda, Burundi, Kamerun na Madagaska wamewasili Moskco ili kujiunga na shule za teolojia, ambapo kwanza lazima wajifunze lugha ya Kirusi.
25 Aprili 2023 15:20
Metropolitani wa Klin Leonid ashiriki Ibada Takatifu ya Patriarkia katika siku ya Radonitsa
Mnamo Aprili 25, Jumanne ya wiki ya pili baada ya Pasaka, Siku ya Radonitsa, Patriarki Mtakatifu Kirill aliadhimisha Liturgia Takatifu na kumbukizi ya Pasaka ya marehemu wote, katika kanisa la Malaika Mkuu lililoko Kremlin mjini Mosko.
18 Machi 2023 13:38
“Redio Sputnik” yatangaza Taarifa kuhusu Esarkia ya Kipatriarki ya Afrika
Mnamo Machi 18, 2023, “Redio Sputnik” ilitangaza taarifa ndefu kuhusu Esarkia ya Kipatriarki ya Afrika "Afrika. Kurejea".
16 Machi 2023 21:39
Sinodi Takatifu yasisitiza umuhimu wa miradi ya pamoja ya Kanisa la Kiothodoksi la Urusi na Kanisa la Ethiopia
Mnamo Machi 16, 2023, katika mkutano wa Sinodi Takatifu, Metropolitani wa Volokolamsk Antoni, Mwenyekiti wa Idara ya Mahusiano ya Kanisa na Taasisi za Nje, aliwasilisha ripoti ya mkutano wa pili wa Tume ya Mazungumzo ya Pande Mbili, kati ya ...
15 Febuari 2023 13:37
Ujumbe wa Kanisa la Ethiopia wazuru Urusi
Mnamo Februari 11, 2023, kwa mwaliko wa Mtakatifu Patriarki wa Mosko na Urusi Yote Kirill, na kwa baraka za Mtakatifu Patriarki-Katholikos wa Ethiopia Abuna Matayo, wajumbe wa Kanisa la Ethiopia waliwasili Mosko ili kushiriki katika kikao cha ...
19 Disemba 2022 21:37
Ziara ya Metropolitani wa Klin Leonid nchini Moroko imehitimishwa
Metropolitani Leonid alitembelea kanisa la Kupalishwa kwa Mtakatifu Bikira Maria mjini Kasablanka.
18 Disemba 2022 21:49
Kwa mara ya kwanza katika historia ya Esarkia ya Afrika, Metropolitani Leonid alifanya upadrisho wa kikasisi na wa kishemasi
Shemasi Herman Edianga kutoka Uganda alitawazwa kuwa kasisi, Sergius Voemava kutoka Jamhuri ya Afrika ya Kati alitawazwa kuwa shemasi.
1
2
Visemavyo Vyombo vya habari kuhusu sisi
Vifaa vyote
18 Machi 2023 13:38
“Redio Sputnik” yatangaza Taarifa kuhusu Esarkia ya Kipatriarki ya Afrika
03 Febuari 2023 16:16
Metropolitani Leonid: Hali ya Wakristo katika Bara la Afrika inazorota
28 Januari 2023 00:59
Makasisi wa Kanisa la Urusi huendesha ibada barani Afrika kwa lugha mbalimbali
Nyaraka
Nyaraka zote
11 Agosti 2023 11:57
Misingi ya Mafundisho ya Kanisa kuhusu Familia na Malezi ya Mtoto: Mila na Usasa
04 Agosti 2023 20:31
Nafasi ya Dini katika Maendeleo ya Mataifa ya Afrika katika ulimwengu unaobadilika kwa kasi
25 Mei 2023 17:30
Salamu za Mtakatifu Patriarki Kirill katika maadhimisho ya “Siku ya Afrika”
Albamu za picha
Picha zote
05 Oktoba 2023 15:06
Metropolitani wa Klin Leonid afanya mkutano na wawakilishi wa “NGO” “Kurugenzi ya Tamasha la Kimataifa la Vijana”
03 Oktoba 2023 13:36
Tamasha la “Afrika ya Kiothodoksi” lafanyikaиnchini Tanzania
Video
Video zote
22 Agosti 2023 14:07
Kwaya ya watoto yaundwa katika parokia ya Mtakatifu Yohana Lestvichnik jijini Keptauni
16 Aprili 2023 19:09
Makasisi wa Esarkia ya Kipatriarki washiriki ibada ya Pasaka katika Kanisa la Utatu Mtakatifu kule Vorobyovii Gori mjini Mosko
patriarchia.ru
Tovuti rasmi ya Patriarkia ya Moscow
mospat.ru
Tovuti rasmi ya Idara ya Mahusiano ya Kanisa na Nchi za Nje
Hramkulishki.ru
Kanisa la Watakatifu Wote kule Kulishki