25 Aprili 2023 18:57
Metropolitani wa Klin Leonid akutana na kundi la wanafunzi kutoka nchi za Afrika
Wanafunzi kutoka Uganda, Burundi, Kamerun na Madagaska wamewasili Moskco ili kujiunga na shule za teolojia, ambapo kwanza lazima wajifunze lugha ya Kirusi.
25 Aprili 2023 15:20
Metropolitani wa Klin Leonid ashiriki Ibada Takatifu ya Patriarkia katika siku ya Radonitsa
Mnamo Aprili 25, Jumanne ya wiki ya pili baada ya Pasaka, Siku ya Radonitsa, Patriarki Mtakatifu Kirill aliadhimisha Liturgia Takatifu na kumbukizi ya Pasaka ya marehemu wote, katika kanisa la Malaika Mkuu lililoko Kremlin mjini Mosko.
18 Machi 2023 13:38
“Redio Sputnik” yatangaza Taarifa kuhusu Esarkia ya Kipatriarki ya Afrika
Mnamo Machi 18, 2023, “Redio Sputnik” ilitangaza taarifa ndefu kuhusu Esarkia ya Kipatriarki ya Afrika "Afrika. Kurejea".
16 Machi 2023 21:39
Sinodi Takatifu yasisitiza umuhimu wa miradi ya pamoja ya Kanisa la Kiothodoksi la Urusi na Kanisa la Ethiopia
Mnamo Machi 16, 2023, katika mkutano wa Sinodi Takatifu, Metropolitani wa Volokolamsk Antoni, Mwenyekiti wa Idara ya Mahusiano ya Kanisa na Taasisi za Nje, aliwasilisha ripoti ya mkutano wa pili wa Tume ya Mazungumzo ya Pande Mbili, kati ya ...
15 Febuari 2023 13:37
Ujumbe wa Kanisa la Ethiopia wazuru Urusi
Mnamo Februari 11, 2023, kwa mwaliko wa Mtakatifu Patriarki wa Mosko na Urusi Yote Kirill, na kwa baraka za Mtakatifu Patriarki-Katholikos wa Ethiopia Abuna Matayo, wajumbe wa Kanisa la Ethiopia waliwasili Mosko ili kushiriki katika kikao cha ...
19 Disemba 2022 21:37
Ziara ya Metropolitani wa Klin Leonid nchini Moroko imehitimishwa
Metropolitani Leonid alitembelea kanisa la Kupalishwa kwa Mtakatifu Bikira Maria mjini Kasablanka.
18 Disemba 2022 21:49
Kwa mara ya kwanza katika historia ya Esarkia ya Afrika, Metropolitani Leonid alifanya upadrisho wa kikasisi na wa kishemasi
Shemasi Herman Edianga kutoka Uganda alitawazwa kuwa kasisi, Sergius Voemava kutoka Jamhuri ya Afrika ya Kati alitawazwa kuwa shemasi.