 09 Juni 2023   15:58
		Katika kuadhimisha Sikukuu ya Utatu Mtakatifu, ibada ya Misa Takatifu ilifanyika katika parokia ya Maombezi ya Theotokos na parokia ya Mtakatifu Leonid nchini Nigeria
		Tarehe 4 Juni, 2023, Wiki ya 8 ya Pasaka, katika kuadhimisha Sikukuu ya Utatu Mtakatifu (Pentekoste), Padre Daniel Agbaza na Padre Anastasy waliongoza ibada ya Misa takatifu katika parokia ya Maombezi ya Theotokos Mtakatifu katika kijiji cha  ...
		09 Juni 2023   15:58
		Katika kuadhimisha Sikukuu ya Utatu Mtakatifu, ibada ya Misa Takatifu ilifanyika katika parokia ya Maombezi ya Theotokos na parokia ya Mtakatifu Leonid nchini Nigeria
		Tarehe 4 Juni, 2023, Wiki ya 8 ya Pasaka, katika kuadhimisha Sikukuu ya Utatu Mtakatifu (Pentekoste), Padre Daniel Agbaza na Padre Anastasy waliongoza ibada ya Misa takatifu katika parokia ya Maombezi ya Theotokos Mtakatifu katika kijiji cha  ...	
		
		 15 Febuari 2023   14:18
		Mwenyekiti  wa  Idara  ya  Misioni  ya  Esarkia ya Kipatriarki ya Afrika, Padri Georgi Maksimov, azuru Kamerun
		Tarehe 12 Februari 2023, katika Wiki ya Mwana Mpotevu, siku ya kumbukizi ya walimu wa kiekumeni  na watakatifu  Basil Mkuu, Gregori  Mtheolojia na  Yohana Zlatousti,  iliadhimishwa  Liturgia  ya upatanisho katika kanisa  la Ufufuo wa Kristo  ...
		15 Febuari 2023   14:18
		Mwenyekiti  wa  Idara  ya  Misioni  ya  Esarkia ya Kipatriarki ya Afrika, Padri Georgi Maksimov, azuru Kamerun
		Tarehe 12 Februari 2023, katika Wiki ya Mwana Mpotevu, siku ya kumbukizi ya walimu wa kiekumeni  na watakatifu  Basil Mkuu, Gregori  Mtheolojia na  Yohana Zlatousti,  iliadhimishwa  Liturgia  ya upatanisho katika kanisa  la Ufufuo wa Kristo  ...	
		
		 18 Disemba 2022   21:58
		Metropolitani wa Klin Leonid alihudhuria tamasha la muziki wa Kirusi katika mji mkuu wa Moroko
		Askofu Mkuu wa Kipatriarki aliwasili Moroko ili kushiriki katika sherehe za maadhimisho ya miaka 90 ya Kanisa la Ufufuo wa Kristo kule Rabat - kanisa kongwe zaidi la Urusi barani Afrika.
		18 Disemba 2022   21:58
		Metropolitani wa Klin Leonid alihudhuria tamasha la muziki wa Kirusi katika mji mkuu wa Moroko
		Askofu Mkuu wa Kipatriarki aliwasili Moroko ili kushiriki katika sherehe za maadhimisho ya miaka 90 ya Kanisa la Ufufuo wa Kristo kule Rabat - kanisa kongwe zaidi la Urusi barani Afrika.