28 Januari 2023 00:36
Mihadhara juu ya Maandiko Matakatifu na Katekisimu yatolewa katika parokia mbili za Esarkia nchini Kenya
Mihadhara hiyo inatolewa na mmisionari na mwalimu A.V. Lyulka.
18 Januari 2023 16:16
Katika Sikukuu ya Tohara ya Bwana, Liturgia Takatifu iliadhimishwa mjini Bujumbura (Burundi)
Mwenyekiti wa Idara ya Misioni ya Esarkia ya Kipatriarki ya Afrika, Padri Georgi Maksimov, azuru Jamhuri ya Burundi.
15 Disemba 2022 22:16
Mkutano wa Makasisi Wakuu nchini Kenya
Kasisi Georgi Maksimov alikabidhi antiminsi kwa makasisi waliojiunga na Kanisa la Kiothodoksi la Urusi.