18 Disemba 2022 22:02
Pongezi za Metropolitani wa Klin Leonid katika kuadhimisha miaka 90 ya Kanisa la Ufufuo wa Kristo kule Rabat.
Metropolitani Leonid alimpongeza Kasisi Mkuu Maksim Massalitin, mkuu wa Kanisa la Ufufuo wa Kristo kule Rabat, pamoja na waumini wa parokia, katika kuadhimisha miaka 90 ya kuwekwa wakfu kwa kanisa hilo.
25 Julai 2022 23:57
SALAMU ZA MWADHAMA LEONID, METROPOLITANI WA KLIN, ASKOFU MKUU WA AFRICA, KATIKA HAFLA YA KUZINDUA TOVUTI YA ESARKIA
Wapendwa! Azimio la kihistoria la Sinodi Takatifu ya Kanisa la Othodoksi la Urusi, la tarehe 29 Desemba, 2021, juu ya uundaji wa Esarkia ya Kipatriarki ya Africa, lilitoa msukumo mkubwa wa kuthibitisha Uorthodoksi katika bara la Afrika. Katika ...